Recent Posts

Ajali yaua watano wakiwemo waandishi wa habari

Mashak Sunday 5 February 2017 0

Watu watano wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka katika eneo la Mwika Mawanjeni Maarufu kama ...

Matunzo ya mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa

Mashak Monday 30 January 2017 0

Na James Timber Mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni nani? Mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni yule ambaye amezaliwa na mwanamke ambay...

Usimkimbie anaye kudai, hii ndio namna ya kudili na madeni

Mashak 0

Ngoja nikumegee kidogo, hivi unajua kama Kukimbia madeni ni hatari kuliko kuyakabili? Unapokuwa na deni au madeni siku zote ni mzigo, a...

Dalili za ugonjwa wa vidonda vya tumbo

Mashak 0

Dalili zitakazokufanya ujihisi una vidonda vya tumbo ni pamoja na; Kuchoka choka sana bila sababu maalum Kuuma mgongo au kiuno Kupu...

Fahamu sifa za mwanamke asiyefaa Kuolewa asilani

Mashak 0

SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nas...

Njia Bora Za Asili Za Kukuza Nywele Zako Mambo Unayotakiwa Kuyafanya

Mashak 0

Kwa wale ambao tuna nywele asilia a.k.a natural hair,tayari tunafahamu changamoto kadhaa tunazokumbana nazo.Kwa wale mnaofikiria kuanz...

Waziri Mkuu apokea ugomvi wa DC ,Mkuu wa wilaya

Mashak 0

Dodoma. Mgogoro baina ya Mbunge wa Chemba (CCM), Juma Nkamia na mkuu wa wilaya hiyo, Saimon Odunga umechukua sura mpya, safari hii uki...

Ghana yaibuka kidedea

Mashak 0

Gabonese, Gabon. Bao la dakika za mwisho la Mahmoud Kahraba limeipa ushindi Misri kuwafunga vijana wa kocha Herve Renard, Morocco kati...

Hali mbaya uwanja wa Sheikh Amri

Mashak 0

Arusha. Hali mbaya ya vyumba vya kubadilisha nguo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri, Arusha unahatarisha afya za wachezaji wanaoutumia.  ...

Usajili wa TIN wafikia kikomo

Mashak 0

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitaongeza siku za kufanya uhakiki wa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN)...

Njia Ya Reli Kati Ya Dar Es Salaam Na Ruvu Yafunguliwa

Mashak 0

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umetoa taarifa kuwa kuanzia saa 9 alasiri leo Januari 30, 2017 njia ya reli kati ya Kituo Kik...

Mfanyabiashara Anaswa na mahindi ya bei chee kutoka nje ya nchi

Mashak 0

Mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina moja la JAPHET amekamatwa na kikosi maalum  kinachohusisha TRA , POLISI na MAAFISA WA KILIMO akiw...

Cpwaa na Noorah watokewa na Mangwea

Mashak 0

Ikiwa sasa ni miaka minne na miezi kadhaa imepita tangu Rapa Albert Mangwea kufariki dunia, wasanii Noorah pamoja na Cpwaa kwa pamoja ...

Mfungwa aliyefaulu Shule Gerezani na sasa atakwenda chuo kikuu London

Mashak 0

Imetokea kwenye gereza la Naivasha Kenya ambapo Mfungwa Michael Kahiga ni miongoni mwa Wafungwa wachache watakaojiunga na chuo kikuu ku...

Payet atua rasmi Marseille

Mashak 0

 Kiungo Mfaransa Dimitri Payet amerejea kwao Ufaransa na kujiunga na klabu yake ya zamani ya Marseille. Marseille imekubali kulipa pau...

Kocha Wa Zamani Wa Boban Ana Nafasi Kubwa Yakumsaidia Ulimengu Sweden

Mashak 0

 Mshambuliaji Mtanzania, Thomas Ulimwengu ana nafasi kubwa ya kufanya vema katika Ligi Kuu ya Sweden kwa kuwa anakutana na mmoj...

Moussa Faki wa Chad ndiye mwenyekiti mpya wa tume ya AU

Mashak 0

Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Chad Moussa Faki amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa tume ya Muungano wa Afrika AU. Faki anac...

Mamelodi Sundowns Fc Watua Dar Kucheza na Simba na Azam

Mashak 0

 Msafara wa kikosi cha Mamelodi Sundowns FC ya Afrika Kusini umewasili leo Jumatatu mchana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuw...