» »Unlabelled » Payet atua rasmi Marseille

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Kiungo Mfaransa Dimitri Payet amerejea kwao Ufaransa na kujiunga na klabu yake ya zamani ya Marseille.

Marseille imekubali kulipa pauni million 25 kwa West Ham ya England.

Awali, kiungo huyo alianza vituko ikiwa ni pamoja na kugoma kufanya mazoezi na wenzake.

Hali hiyo ilisababisha mashabiki kuanza kumshambulia ikiwa ni pamoja na kuchana picha zake wakisisitiza kuwa ni msaliti.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post