» »Unlabelled » Ajali yaua watano wakiwemo waandishi wa habari

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Watu watano wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka katika eneo la Mwika Mawanjeni Maarufu kama Bar mpya mkoani Kilimanjaro.

Miongoni mwa waliofariki ni waandishi wawili wa habari mmoja akiwa ni wa gazeti la Habari Leo Bw. Anold Swai na Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Hai, na mwingine ni mwadishi wa habari wa kujitegemea.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
This is the most recent post.
»
Previous
Older Post