» »Unlabelled » Mose Iyobo Amwelezea Harmorapa Kama ‘Nyani’ Mtandaoni

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 DANSA mashughuli na kutoka lebo kubwa bongo Wasafi Classic Baby, (WCB) na mzazi mwenza wa Anti Ezekiel Mose Iyobo amefunguka kupitia mtandao wa Hamis Mandi Mtangazaji wa XXL ya Clouds Fm wa ‘Tweeter’ baada ya kuweka picha akiwa na mtafiti wa wa Nyani Duniani ndipo Mose Iyobo na akamtaka mtafiti huyo apewe taarifa za uwepo wa Nyani mwingine aitwaye Hamorapa.

“Duh noma sana ila mwambie kuna Nyani anaitwa Harmorapa angekuja kumfanyia utafiti na kujua tabia zake angetisha sana” aliandika Mose Iyobo.

Haijafahamika sababu ya Iyobo kumuita hivyo Harmorapa jina la mnyama ,kitendo kinachotafsiriwa kama ni dharau au uwenda ipo tofauti kati yao.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post