» » ‘Taifa lina uhaba wa damu’

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Balozi wa China nchini Tanzania, Dkt. LU
Dodoma. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Taifa lina uhaba mkubwa wa damu salama lakini wananchi hawana mwamko wa kuchangia damu kwa kuwa wanapochangia  hutakiwa kununua damu hiyo.
Akizungumza jana kwenye maadhimisho ya kuchangia damu salama yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Nyerere square Mwalimu amesema kuwa tabia ya waganga Wakuu wa Hospitali za Wilaya na Mikoa kuwauzia damu wagonjwa ndiyo chanzo cha  wananchi kutokuwa na moyo wa kuchangia damu.
Amesema wananchi wamekuwa wakikatishwa tamaa na madaktari pale wanapokuwa na wagonjwa wanaohitaji damu kutakiwa kununua damu hiyo.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post