ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Dar es Salaam. Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto anatarajia
kupandishwa kizimbani leo mjini Shinyanga kujibu tuhuma za kudaiwa
kumpiga mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications LTD (MCL),
Mwanahiba Richard Februari mwaka huu.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa na Hakimu Rahim Mushi katika Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga Februari, mwaka huu.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO