» » AJALI MBAYA YATOKEA KARIBU KABISA NA UDOM

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


 Saa saba mchana jana hapo chuo kikuu dodoma kwenye mlima maarufu uliopo karibu na jengo la CHIMWAGA uitwao mlima chimwaga kumetokea ajali mbaya ya gari la abiria baada ya kushindwa kupanda mlima,chanzo kamili cha ajali bado hakijapatikana.kwa taarifa zilizopatikana ni kwamba watu takribani kumi na sita hali zao si nzuri na wamekimbizwa kwenye hospital ya mkoa wa Dodoma GENERAL,taarifa kamili juu ya habari hiyo endelea kuwa nasi.


ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post