» » Kilwa road – Mbagala kunufaika na mpango mpya wa barabara za mwendo kasi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Awamu ya pili ya ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka unatarajia kuanza mwaka ujao wa fedha.

Mradi huo utafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) na utahusu Barabara ya Kilwa kupitia Mbagala wilayani Temeke, Dar es Salaam.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dart, Ronald Lwakatare kulingana na Sensa ya Makazi na Watu 2012, Temeke kabla ya kugawanywa na Kigamboni, ilikuwa na eneo la kilomita mraba 656 na watu 1,368,881.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post