» »Unlabelled » Wafanyakazi shirika la ndege la Uingereza wafanya mgomo

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mgomo wa wafanyakazi wa British AirwaysWafanyakazi wa shirika la ndege la Uingereza la British Airways wafanya mgomo wa siku mbili jijini London.

Takriban wafanyakazi 2,900 wamegoma huku wakidai nyongeza katika mishahara yao.

Msemaji wa muungano wa kibiashara na wafanyakazi Oliver Richardson alieleza hali ya wafanyakazi hao na kusema kuwa wengi wao hulazimika kufanya kazi mbili kwa kuwa mishahara yao haitoshelezi mahitaji yao .

Richard alifahamisha kuwa wafanyakazi katika shirika la British Airways wanalipwa mishahara iliyo duni sana .

Wafanyakazi hao walitoa wito kwa mamlak kuongeza mishahara yao ya kilamwaka kwanzia Euro elfu 21 hadi euro elfu 25 .

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post