» »Unlabelled » Ujenzi wa reli ndefu zaidi barani Afrika wakamilika

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Ujenzi wa reli ndefu zaidi barani Afrika wakamilika

Reli ndefu zaidi Afrika inayounganisha mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa na Dibouti yamalizwa kufanyiwa ujenzi.

Kwa mujibu wa taarifa ya shirika la habari la Ethiopia la ENA ni kuwa hafla maalum ya ufunguzi wa reli hiyo ilifanyika katika kituo cha treni jijini Nagad nchini Djibouti.

Rais wa Djibouti  Ismail Omer Gulle na waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn walikuwa miongoni mwa viongozi wakuu waliohudhuria sherehe hiyo.

Reli hiyo yatarajiwa kuboresha uhusiano wa kiuchumi baina ya mataifa ya kanda ya Mashariki mwa Afrika .

Takriban dola bilioni 3.4 ziligharibu mradi wa ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa kilomita 756.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post