» »Unlabelled » Watumishi kudhibitiwa kwa CCTV

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Monday, December 12, 2016

Korogwe. Ili kuwadhibiti watumishi wanaotumia simu muda wa kazi, Wizara ya Afya ina mpango wa kufunga kamera maalumu (CCTV) kwenye hospitali za wilayani.

Waziri wa wizara hiyo, Ummy Mwalimu alisema hayo juzi wakati wa ufunguzi wa kituo cha redio cha Voice Of Africa wilayani Korogwe.

Alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa kituo hicho aliyetaka kujua Serikali itadhibiti vipi tatizo la watumishi na hasa wa wizara hiyo wanaokiuka maadili kwa kuchezea simu muda wa kazi.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post