» »Unlabelled » Watoto waporwa ng’ombe machungani

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Monday, December 12, 2016

Kibiti. Watu wanaodaiwa kuwa majangili wakiwa na silaha wamepora ng’ombe 35 wakiwa malishoni katika Kijiji cha Nyamisati wilayani hapa.

Pia, waliua ng’ombe sita na kuwajeruhi wengine tisa kwa kitu chenye ncha kali.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Gullamhusein Kiffu alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa saa tisa alasiri. Alisema ng’ombe hao waliporwa kutoka kwa watoto wawili waliokuwa wakiwachunga.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post