» »Unlabelled » Mashauzi Kuachia Kiss Me Desemba Hii

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Tuesday, December 13, 2016

Mwanamuziki wa muziki wa taarabu hapa nchini Aisha Ramadhani (Isha Mashauzi) anataraji kuachia kibao kipya kinachokwenda kwa jina la Kiss Me.

Akizungumza na globu ya jamii Msahauzi amesema kuwa amekuwa kimya kwa kipindi kirefu hivyo kibao hicho kitaweza kuwarudisha mashabiki wake katika mstari.

“hii ni zawadi ya kufunga na kufungua mwaka kwa mashabiki wangu hivyo wajue kuwa wimbo huo ambao upo katika viwango vya hali ya juu,imerekodiwa ndani ya studio za Sophia zilizopo kinondoni” amesema Mashauzi

Ameongeza kuwa waliniona kuwa nimekuwa kimya katika taarabu sasa nimerudi tena na hichi kibao ambacho watafurahi wenyewe.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post