» »Unlabelled » Wanajeshi 12 wauawa na wapiganaji Misri

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema kuwa watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kiislamu wamewaua wanajeshi 12 wakati wa shambulizi katika kuzuizi cha jeshi eneo la rasi ya Sinai.

Wanajeshi 8 walijeruhiwa wakati wa shambulizi hilo lililotokea karibu na mji wa Beir al-Abd.
Kulingana na jeshi nao washambuliaji 15 waliuawa

Wanamgambo hao wanaongozwa wa tawi la eneo hilo la kundi la Islamic State.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post