» »Unlabelled » Vigogo kuwekwa kiti moto

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Watumishi watano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe waliohamishwa na wengine kustaafu wanatakiwa kurejeshwa ili kutoa maelezo ya matumizi ya Sh410 milioni zilizopotea katika mazingira tata.

Vigogo wanaotakiwa kurudi Mbozi baada ya kuhamishwa 2012/13 ni waliokuwa wakishikilia nyadhifa za mkurugenzi mtendaji, mweka hazina, ofisa elimu sekondari, ofisa mipango na mganga mkuu wa wilaya.

Taarifa hiyo, ipo kwenye mapendekezo ya tume iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Luteni Mstaafu Chiku Galawa kuchunguza upotevu wa fedha hizo.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post