» » Wahamiaji haramu 18 wakamatwa Mtwara

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Mtwara. Idara ya uhamiaji mkoani Mtwara imewakamata wahamiaji haramu 18 raia wa Ethiopia kwenye kijiji cha Kilambo, Mtwara Vijijini wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Msumbiji.

Kamishna msaidizi wa idara ya uhamiaji na ofisa uhamiaji Mkoa wa Mtwara, Rose Mhagama amesema wahamiaji hao wamekamatwa Jumatatu asubuhi wakiwa na hati za kusafiria, lakini hawakuwa na kibali cha kuingia nchini wala nchi wanayokwenda.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post