ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Mtoto wa miaka 10 kutoka Indonesia, ambaye ametajwa kuwa mtoto
aliyenenepa zaidi duniani ameanza kupewa chakula cha kupunguza uzani kwa
kuwa wazazi wake wanahofia afya yake.
Arya Permana ana uzani wa kilo 188 na ameorodheshwa kuwa na unene usio wa kawaida.
BBC ilizungumza na mamaake Rokayah huko Karawang Indonesia ambaye ana wasiwasi sana kuhusu afya ya mwanawe.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO