» » Mourinho airejesha Man United yake Uingereza

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Mechi moja tu ya kirafiki siyo kipimo kabisa kwa kikosi cha Mourinho, na alikuwa akihitaji mechi ya Derby dhidi ya Manchester City ili kuangalia makosa ya mechi iliyopita ya kichapo cha 4-1 dhidi ya kwa Borussia Dortmund, lakini mvua ikatibua.

Manchester United, imerejea alfajiri ya leo, nchini Uingereza ikitokea China, baada ya kujikuta ikicheza mechi moja tu ya kirafiki nchini humo, kuliko vile walivyopanga.

Mchezo wa Debry na mahasimu zao, Manchester City uliokuwa upigwe jana jijini Beijing umeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na uwanja wa Bird's Nest kujaa maji.

Kabla ya hapo, kikosi cha Jose Mourinho, kimejipima kwa mechi moja ya kichapo cha mabao 4-1 kutoka kwa Borussia Dortmund mjini, Shanghai, ijumaa iliyopita.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post