» » Ferooz afunguka asema hawezi kuwa na demu staa

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Kumbe eeh! Msanii wa ‘long time kitambo’ Ferooz Mrisho amefunguka kuwa hawezi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na demu staa kwa kuwa anajua jinsi walivyo pasua kichwa.

Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi kwa sasa, msanii huyo alisema kuwa kutokana na jinsi anavyoona wanaume walio na mastaa wanavyohenyeka, yeye hawezi kuingia huko na badala yake amejituliza na mpenzi wake ambaye wala siyo staa.

“Mchumba wangu ni mtu wa kawaida sana, nawaogopa sana mastaa maana ni pasua kichwa kinoma. Najua watu wanataka kumjua niliyenaye, nitafanya hivyo muda ukiwadia,” alisema Ferooz.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post