» » Barcelona yamsajili Andre Gomes

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Barcelona imeipiga bao Real Madrid na kumnasa kiungo Mreno, Andre Gomes.

Gomes aliyeisaidia Ureno kubeba ubingwa wa Euro 2016, ametua Barcelona kwa kitita cha euro 50. Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ndiye nahodha wa Ureno.

uamuzi wa Barcelona kwa kiungo huyo wa Valencia umekuwa ni kama wa kushitukiza na umewashangaza Madrid ambao walionekana wana nafasi ya kumnasa kiungo huyo mwenye miaka 22.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post