» » Zlatan Ibrahimovixc akaribia kusaini mkataba na Manchester United

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO



Timu ya Manchester United inatarajiwa kukamilisha usajili wa mchezaji wa Swedan, Zlatan Ibrahimovic kabla ya kuanza kwa michuano ya Uero Juni 10 mwaka huu.
01_12091837_183cea_2737628a
Sky Sports imeripoti kuwa kaimu mtendaji mkuu wa Manchester United, Ed Woodward na wakala wa mchezaji huyo wanakamilisha makubaliano ya hatua za mwisho kwa ajili ya kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka mmoja ambaye kocha mpya wa timu hiyo, Jose Mourinho amepanga kumtangaza Ibrahimovic kama ndiyo usajili wake wa kwanza ndani ya timu hiyo.
Ibrahimovic ni mchezaji huru kwa sasa baada ya kumalizika kwa mkataba wake na timu yake ya zamani PSG aliyeichezea kwa zaiodi ya misimu mitatu kwa mafanikio makubwa zaidi.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post