» » Shilole na Nuh Mziwanda Wakutana Tena Zamu hii Hawajapigana ila Hiki Kikubwa ndo Kimetokea.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Kwa sasa Shilole na Nuh mziwanda washatemana na kila mtu ana mpenzi wake, huku Nuh akiwa kattutambulisha mrembo mpya na kukiwa na skendo kua Shilole katemana na Nedy. Basi kama mtakumbuka vizuri siku chache baada ya Shishi na Nuh kutemana walikutana katika Interview Clouds Tv na mwisho wa siku waliishia kupigana.

Imepita miezi mingi sasa wawili hawa hawajakutana tena mpaka juzi hapa walipokutana tena Clouds Fm katika kipindi cha XXL. Kizuri ni zamu hii hawajagombana ila kumetokea jambo moja lakushangaza zaidi pale walipokua wakiulizwa maswali na BDozen. Hebu cheki video hii kisha niambie ni nani muungwana zaidi kati ya Shilole na Nuh??


ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post