» » Wazuiwa kufunga Ramadhani

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


China. Serikali ya China imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na watu wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang wasifunge katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Taarifa iliyochapishwa katika tovuti rasmi ya Serikali ya mji wa Korla mkoani Xinjiang ilisema: “Wanachama (wa chama tawala cha Kikomunisti), makada na wafanyakazi wa umma hawapaswi kufunga Ramadhani na kushiriki katika harakati za kidini mwezi huu.”
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post