ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
China. Serikali ya China imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa
umma na watu wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang
wasifunge katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Taarifa iliyochapishwa katika tovuti rasmi ya Serikali ya mji wa Korla
mkoani Xinjiang ilisema: “Wanachama (wa chama tawala cha Kikomunisti),
makada na wafanyakazi wa umma hawapaswi kufunga Ramadhani na kushiriki
katika harakati za kidini mwezi huu.”
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO