» » Upepo wa Edward Lowassa Wazidi Kuyumbisha CCM

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Wabunge wa CCM wameunda kamati maalumu ya wabunge 15 kwenda kutathmini uchaguzi mkuu, badala ya kutegemea ripoti zinazotolewa na makatibu wa wilaya na mikoa pekee.

Katibu wa wabunge hao, Jason Rweikiza alisema kamati ya wabunge hao itawahoji wabunge wote wa CCM 267 kwa sababu ndiyo wahusika wakuu, kuangalia changamoto walizokutana nazo.

Miongoni mwa wajumbe hao ni Joseph Mhagama, Dk Faustine Ndugulile, Joseph Kakunda, Profesa Anna Tibaijuka, Mboni Mhita, Peter Serukamba, Innocent Bashugwa, George Mkuchika, Munira Mustapha, Jasmini Tiisekwa na Abdallah Ulega.

 Katika hatua nyingine, CCM Mkoa wa Ruvuma imewatimua wanachama 62 kwa usaliti ikiwamo kumuunga mkono Edward Lowassa katika Uchaguzi Mkuu 2015.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post