» » Baby Madaha: Sina Hobi na Serengeti Boys Kama Shilole na Wolper

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


MSANII na mcheza filamu za Kibongo, Baby Madaha amesema hapendi kushiriki mapenzi na wanaume wa umri mdogo ‘Serengeti Boys’ kwani watu hao hawawezi kumshauri mambo ya maendeleo.

Baby alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha kimapenzi na Serengeti Boys.

“Serengeti boys siyo hobi yangu kwa kweli maana watanizingua tu, nawapenda watu wazima maana wananipa akili za kimaendeleo, hao watoto hawawezi kunisaidi chochote cha maana nawashangaa hata hao wanaokuwa nao,” alisema Baby Madaha.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post