» » Takukuru inachagua kesi za kuchunguza - Profesa Tibaijuka

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Dodoma. Profesa Anna Tibaijuka ameilalamikia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwa inakubali kutumiwa kwa kuchagua kesi za kuchunguza.

Aliyasema hayo alipokuwa akichangia hoja katika semina ya kuwajengea uwezo wabunge wa kupambana na ufisadi iliyoandaliwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Ufisadi (ACFE).

Alidai kuna mbunge aliyekuwapo kwenye bunge lililopita, alikuwa miongoni mwa waliopokea fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow, lakini hakuwahi kuhojiwa na Takukuru wala kuzungumziwa hadi sasa.

Profesa Tibaijuka alisema kitendo hicho kinaonyesha ni kwa namna gani Takukuru hawako makini.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post