» » Nisha awahofia wakware kwa mwanaye

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


nishaa.jpg
MSANII anayefanya vizuri katika filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefungukia hofu aliyonayo kwa mwanaye, Ipsium kutokana na wanaume wakware kuzidi kuongezeka kila siku.
Akichonga na Risasi Vibes, Nisha alisema hata akiwa na ‘boyfriend’ wake, huwa hapendi amzoee mwanaye huyo, kwani anamlea katika maadili ya kidini zaidi na anamshukuru Mungu anazingatia vile anavyotaka.
“Mwanangu yuko darasa la saba na analala shuleni lakini wakifunga, huwa anarudi nyumbani hivyo kwa kuwa nasafiri mara nyingi, huwa nawapeleka yeye na dada wa kazi kwa mama yangu ili kuepusha wanaume wakware wasiniharibie mwanangu maana nina hofu sana na wanaume wakware,” alisema Nisha.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post