» » Maalim Seif aibua mapya

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Zanzibar. Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amedai kuna vikwazo vya kuwadhoofisha wafuasi wao kushinikiza kudai ushindi walioupata kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka jana.

Maalim Seif alizitaja mbinu hizo ambazo hakutaja zinafanywa na nani kuwa ni vikwazo na visingizio vinavyoandaliwa kuwarejesha nyuma wanachama hao kutekeleza azma ya kudai ushindi ambavyo ni pamoja na kuteswa na kubambikiwa kesi, lakini hayo yote si lolote wala chochote.

Kiongozi huyo alisema hayo katika mkutano huo uliolenga kufanya majumuisho ya ziara aliyoianza Mei 13, mwaka huu katika wilaya za Unguja na Pemba.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post