ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO
Tafiti zinaonyesha kuwa kufanaya kazi zaidi ya masaa 55 kwa week
hukuweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi pamoja na magonjwa
ya moyo na akili.
Hii hutokana na moyo, ubongo, neva za fahamu kufanya kazi kwa muda mrefu
bila kupumzika hivyo kupunguza huwezo wa kufiri, kutoa maamuzi na
kupunguza mzunguko wa damu na chakula kwenye mfumo wa fahamu.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO