» » DC atosa siku saba wafanyabiashara warejee ndani ya sokoni Tarime

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Tarime. Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Glorius Luoga amewapa siku saba wafanyabiashara wa Soko Kuu Tarime kurejea sokoni huku akiahidi kushughulikia kero yao ya kutozwa ushuru mara mbili.

Luoga ameuagiza uongozi wa soko hilo kushughulikia na kumaliza malalamiko ya wafanyabiashara kutozwa ushuru mara mbili kila siku kinyume cha utaratibu.

Awali, mfanyabiashara  Isack John alimweleza mkuu huyo wa wilaya kuwa wamelazimika kutoka nje ya soko kukwepa ushuru wanaotozwa na uongozi wa soko ambao licha ya kulipa mara mbili, wanapewa stakabadhi moja pekee.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post