» » Mkapa aja na mpya mzozo wa Burundi

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Mpatanishi wa mgogoro wa Burundi, Benjamin Mkapa 
Arusha, Tanzania. Mpatanishi wa mgogoro wa Burundi, Benjamin Mkapa ameahidi kuzungumza na pande zote hasimu nchini Burundi katika jitihada za kuutatua mgogoro wa nchi hiyo ndogo ya katikati mwa Afrika. Mkapa ambaye alikuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tatu wa Tanzania jana alitoa taarifa na kusema kuwa atazungumza na makundi yote hata watu ambao hawashiriki katika mazungumzo ya Arusha ya kujadili mgogoro huo. Alisema ni wazi kuwa kama upande wa upinzani utashiriki, utazidi kuyapa maana mazungumzo hayo.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post