» » Basi la Mwendo Kasi Haraka Dar es salaam limeua mmoja leo May 19 2016 jionee Hapa

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


May 19 2016 katika eneo la leo  Shekilango Jijini Dar es salaam imetokea ajali baada ya mwendesha bodaboda akiwa na abiria wawili kwenye pikipiki moja akijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake lakini pikipiki ikamshinda na kuanguka, pikipiki hiyo iliyokuwa imebeba Mama na mwanae.
ajali
20160519_150235
Bodaboda iliyombeba mtoto aliyekanyagwa
20160519_151845
ajali 2
ajali 4
ajali 5
Mahali mtoto alipokanyagiwa basi la liendalo haraka.
Mtoto alianguka upande wa barabara za mabasi yaendayo haraka na basi hilo likawa limempitia  na  kusababisha kifo cha chake
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post