» »Unlabelled » Namna ya kupunguza Unene

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Wednesday, December 14, 2016

1. Tumia matunda na mboga za Majani
Pata angalau vipande vitano vya matunda na mboga za majani, hii husaidia mwili wako kuwa katika kiwango kilicho sahihi.

2. Mazoezi 
Mazoezi ni muhimu kwako ili kubaki na uzito unaopendekezwa kiafya. Fanya mazoezi angalau nusu saa kwa siku.

3. Panga vyakula utakavyokula
Mpangilio wa vyakula utakavyokula utakusaidia kukulinda na kukuepusha kwa kuwa na uzito mkubwa kwani mtu anayepanga mlo wake mara nyingi huepuka kula holela holela.

4. Punguza matumizi ya vinywaji vya sukari
Unywaji wa soda na juisi za viwandani huongeza utendaji wa kimetaboliki wa mwili na kufanya uzito kuongezeka. Hivyo ni vyema kutumia vinywaji hivyo kwa tahadhari sana.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post