» »Unlabelled » Baada ya kukosa tuzo, Mayunga afunguka

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Monday, December 12, 2016

 Msanii Mayunga Nalimi ambaye alikuwa kwenye kipengele cha mwanamuziki bora chipukizi katika EATV AWARDS, leo amefunguka baada ya kukosa tuzo hiyo na kwenda kwa msanii wa singeli Manfongo.

Kwenye ukurasa wake wa instagram amendika kuhusu tuzo hizo huku akiipongeza EATV, kwa kuandaa tuzo hizo zilizotoa fursa kubwa kwa wasanii hao.


Mayunga alikuwa kwenye kipengele cha mwanamuziki bora chipukizi pamoja na Bright, Rucky Beby, Manfongo, Feza Kesy ambapo Manfongo ndiye aliyeibuka mshindi
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post