» »Unlabelled » Staa wa Chelsea ambaye anatajwa kusajiliwa Man U January

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Ni mwezi mmoja tu umebaki hadi kufikia mwezi January ambapo dirisha dogo la usajili barani Ulaya litafunguliwa rasmi, bado dirisha la usajili halijafunguliwa lakini headlines za mchezaji gani atajiunga na  timu gani mwezi January zina zidi kuchukua nafasi.
Picha inayohusiana

Kocha wa Man United Jose Mourinho ameanza kuhusishwa kuwa katika mpango wa kumsajili Willian wa Chelsea mwezi January, stori kutoka dailystar na 101greatgoals.com imeeleza kuwa Mourinho anataka kumsajili Willian ambaye imeanza kuaminika kuwa anakosa nafasi chini ya Antonio Conte.

gettyimages-456341560
Willian akiwa na kocha Jose Mourinho wakati wakiwa pamoja Chelsea

Kama utakuwa unakumbuka vizuri Willian alijiunga na Chelsea August 2013 akitokea klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi aliyodumu nayo kwa kipindi kifupi tu.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post