» »Unlabelled » Adhana kusikika kwa mara ya kwanza baada ya miaka 104

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Msikiti wa Haydar Kadı ulioko mjini Manastır kusini magharibi mwa Macedonia ambao ni wa utawala wa zamani wa Ottoman unatarajiwa kufunguliwa tena upya hivi karibuni.
Adhana kusikika kwa mara ya kwanza baada ya miaka 104
Shughuli za ukarabati wa msikiti huo zilizoanzishwa mwaka 2015 zimekamilika.

Msikiti wa Haydar Kadı ulijengwa wakati wa utawala wa mfalme Kanuni Sultan Süleyman kati ya mwaka 1561-1562 Macedonia na kufungwa kwa miaka 104.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post