» »Unlabelled » Real Madrid Imeitwanga Real Betis Mabao 6-1, Ronaldo, Isco, Benzema Wakifanya Yao

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Real Madrid imeitwanga Real  Betis kwa mabao 6-1 katika La Liga, mechi iliyoisha hivi punde.

Madrid walikuwa ugenini lakini walitawala kwa kiasi kikubwa huku nyota wake wengi wakifanikiwa kufunga.

Katika mechi hiyo mabao ya Real Madrid yamefungwa na Raphael Varane, Isco aliyetupia mawili, Marcelo, Karim Benzema na Cristiano Ronaldo.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post