» »Unlabelled » Ndege yashika moto ikipaa

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Watu zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya ndege ya Shirika la American Airline Boening B767 Flight number 383 iliyokuwa ikitokea Chicago kuelekea Miami imeungua moo. Injini ya kulia ya ndege hiyo imelipuka wakati ikijiandaa kupaa katika uwanja wa ndege wa O’Hare.

Viongozi wa ndege hiyo wanasema kuwa abiria saba na mhudumu mmoja walijeruhiwa lakini walikimbizwa hospitali kwa uchunguzi.

Hata hivyo baadaye uongozi wa ndege hiyo ulisema kuwa watu zaidi ya 20 walikimbizwa
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post