\
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman
Othman atawasilisha mada hiyo kwenye ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Sera za Umma ya Zanzibar (ZIRPP) zilizoko nyuma ya jengo la Majestic kisiwani Unguja.
Umiliki wa kisiwa hicho umekuwa na utata tangu 1898 wakati Zanzibar ikiwa chini ya utawala wa Sultan wa Oman na Tanganyika (Tanzania Bara) ikitawaliwa na Mjerumani.