» »Unlabelled » Magufuli amteua Kindamba kuwa Ofisa mtendaji mkuu TTCL

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Rais John Magufuli amemteua Waziri Kindamba kuwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa TTCL.

Uamuzi huo umekuja baada ya Serikali kununua hisa zote za Bharti Airtel ambaye alikuwa mbia mwenza wa TTCL na hivyo Serikali kumiliki kampuni hiyo kwa asilimia 100

Kindamba ameteuliwa kushika nafasi hiyo kuanzia leo  Septemba 23, 2016.

Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, imesema kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Dk Kamugisha Kazaura atapangiwa kazi nyingine

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post