» »Unlabelled » Luis Enrique alia kumkosa Messi dimbani

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Kocha wa klabu ya Barcelona, Luis Enrique, amesema kikosi chake kitabaki imara ingawa kitamsubiria Lionel Messi aliyepatwa majeruhi kwenye mchezo wa jana wa sare ya 1-1 dhidi ya Atletico Madrid.

Messi alitoka nje kipindi cha pili cha mchezo huo, uliopigwa uwanja wao wa nyumbani baada ya kushtua misuli ya mguu, na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa wiki tatu.

Enrique amesema kumkosa Messi ni kukosa soka, lakini bado anayo safu ya ushambuliaji iliyo tayari kufanya kazi.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post