» »Unlabelled » Mourinho na Pogba waingia studio kufanya yao

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Licha ya kuwa na ratiba ngumu ya mazoezi na michuano iliyo mbele yao tangu kuanza kwa msimu huu wa 2016/17, bado Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho na mchezaji wake, Paul Pogba wamepata muda wa kufanya kazi zao nyingine nje ya timu.

   
Wawili hao ambao keshokutwa Ijumaa watakuwa kwenye Uwanja wa Old Trafford kuikaribisha Southampton katika mechi ya Premier League, walikuwa pamoja katika studio ndogo iliyopo ndani ya Hoteli ya Lowry kwa ajili ya kutengeneza tangazo la biashara.

Kocha huyo raia wa Ureno alionekana akiwasili katika hoteli hiyo akiwa na nguo kadhaa kwa ajili ya kazi hiyo.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post