1. Hakikisha haumuachi mtoto mdogo na chakula au kinywaji bila uangalizi hata kama ni maziwa ya chupa asije akapaliwa.
2. Usimpe mtoto chakula au maziwa akiwa amelala, analia au anacheka.
3. Usimpe chakula ambacho kinaweza kumkaba au kumpalia kama karanga, maindi, zabibu n.k
4. Kabla ya kumpa mtoto chakula hakikisha umekiangalia joto lake usije ukamuunguza mdomo.
5. Usafi wa mtayarishaji, mlishaji na mlishwaji ni muhimu sana.
2. Usimpe mtoto chakula au maziwa akiwa amelala, analia au anacheka.
3. Usimpe chakula ambacho kinaweza kumkaba au kumpalia kama karanga, maindi, zabibu n.k
4. Kabla ya kumpa mtoto chakula hakikisha umekiangalia joto lake usije ukamuunguza mdomo.
5. Usafi wa mtayarishaji, mlishaji na mlishwaji ni muhimu sana.
