» »Unlabelled » Dk Kigwangalla amuibukia tena Dk Mwaka

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla (Kushoto) na Dk Juma Mwaka (Kulia) 

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ameibuka tena kwenye kiliniki ya Dk Juma Mwaka ili kufanya ukaguzi wa kinachoendelea katika kliniki hiyo ambayo hivi sasa imebadilishwa jina na kuwa kampuni.

Dk Kigwangalla ambaye amefanya ziara ya kushtukiza katika kiliniki hiyo kama alivyowahi kufanya mara baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo.

Kabla ya Dk Kigwangalla kuingia katika kliniki hiyo kufanya ukaguzi alisubiri kupata kibali cha polisi ili kuweza kuingia ndani ya jengo la Dk Mwaka.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post