» » Watu wawili waliokuwa wakishikilia mateka kanisani wauawa Ufaransa

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Watu wawili waliokuwa na silaha na waliokuwa wameshikilia mateka kwenye kanisa moja huko Rouen, Kaskazini mwa Ufaransa wameuwa.

Mateka mmoja pia ameuawa. Watu hao walikuwa wakishikilia mateka watu wanne hadi sita kwenye kanisa la Saint-Etienne-du-Rouvray.

Padre, watawa wawili na waumini walikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wameshikiliwa. Polisi wamelizunguka kanisa hilo na watu wameambiwa kukaa mbali.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post