» » NJIA ASILI YA KUONDO WEUSI KATIKA MDOMO

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

Ukijikuta na mdomo mweusi na hujui cha kufanya, unless ndio rangi natural ya mdomo wako basi usifanye kitu.

Njia asilia ya kuondoa weusi kwenye midomo ndio hii, unatakiwa kuwa na Carrot, beetroot, asali na olive oil.

Osha carrot na beetroot, katakata, weka kwenye blender kisha saga. Huo mchanganyiko weka kwenye bakuli kisha weka vijiko 2 vya olive oil na asali, then changanya vizuri.


Kabla ya kupaka mchanganyiko huo, hakikisha unafanyia kwanza scrub mdomo..Ingia HUMU ili kujua jinsi ya kuscrub lips zako ziwe laini.

Then chukua pamba, dumbukiza katika mchanganyiko wako then kuwa kama unapaka kwenye lips zako polepole, kama ni asubuhi kaa nayo kwa dakika 20 then nawa. Kama ni usiku paka na ulale nayo.

Kama una mstari mweusi katika lips zako ongeza ndimu katika huo mchanganyiko wako.

*mchanganyiko unaweza kukaa kwa muda wa siku 12 ukitunza kwenye fridge*
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post