» » » Darasa: Bila mimi hakuna Mavoko

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


                                                  Sharif Ramadhani ‘Darasa’

MWANAMUZIKI wa Hip Hop Bongo anayetamba na Ngoma ya Too Much, Sharif Ramadhani ‘Darasa’ amefunguka kuwa bila yeye kumshirikisha msanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko kwenye ngoma yake ya Kama Utanipenda angepotea kimuziki.

                                                                Rich Mavoko

Akich-onga na Showbiz Xtra, Darasa alisema kuwa Mavoko ni mkali lakini kuna wakati ulifika akaanza kama kupoteza nguvu aliyokuwa nayo kwenye gemu hivyo baada ya kumshir-ikisha kwenye wimbo wake huo amerudi kwenye reli

 jambo ambalo anajivunia.

“Sikatai kuwa Mavoko ni mkali, lakini hakuna asiyefahamu kuwa kuna wakati alianza kama kupotea hivi kwenye gemu na mimi ndiye niliyemrudisha tena baada ya kumshirikisha kwenye wimbo wangu, Kama Utanipenda!” alisema Darasa.
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post