» » ‘Yanga Watanzania wanataka ushindi’

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


 

Kocha Athumani Bilali ‘Bilo’ amewaambia Yanga wanahitaji kupambana katika mchezo wao wa kesho dhidi ya MO Bejaia kwani Watanzania wote wako nyuma yao, hivyo wanahitaji kushinda mtanange huo ili kuwapa raha.

Yanga kesho itakuwa na kibarua kikubwa nchini Algeria pale watakapowavaa Waarabu hao katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika katika Kundi A.
Akizungumza na gazeti hili jana, Bilo ambaye ni kocha msaidizi wa Stand United amesema Watanzania wapo pamoja na Yanga katika mchezo huo, hivyo wanatakiwa kutambua wanahitaji ushindi. 
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post