» » Watu 2 wauawa kwenye ghasia Afrika Kusini

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO


Watu wawili wanaripotiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na 40 kujeruhiwa wakati wa maandamano yenye ghasia kwenye mji mkuu wa Afrika Kusini Pretoria.

Maandamano hayo ni ya kupinga hatua ya chama tawala nchini humo cha African National Congress (ANC) ya kumteua mgombea wa kiti cha umeya mwezi Agosti.

Uporaji kwenye maduka yakiwemo yale yanayomilikiwa na wahamiaji, umeendelea siku nzima licha ya kuwa wa kiwango cha chini ikilinganishwa na hapo jana na Jumatatu
ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Mashak

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post