» » Video: Ronaldo alivyo itupa mic ya mwandishi kwenye maji

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

 Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo arusha kipaza sauti cha mwandishi wa habari wa televisheni ya CMTV ndani ya maji baada ya kutaka kufanya nae mahojiano naye.

Ilikua leo asubuhi huko Ufaransa kwenye michuano ya EURO 2016 saa kadhaa kabla ya Ureno kukipiga na Hungary uwanjani, Ronaldo alipoulizwa kuhusu utayari wake kwenye hiyo game hakujibu chochote badala yake akaichukua microphone ya Mwandishi na kuitupa kwenye maji.

Ronaldo ambaye haja fanya vizuri katika michuniano hiyo amekosa penalti na nafasi nyingi katika mechi dhidi ya Austria ambapo walitoka sare ya 0-0 na kuiweka timu hiyo (Austria) kileleni katika kundi F

Hata hivyo, ushindi wa leo inatarajiwa kuiweka Ureno katika nafasi ya kwanza kwenye kundi lao na pointi 5 nyuma ya Hungary ambao watakuwa na pointi 4.

ILI UPATE HABARI ZETU KWA URAHISI BOFYA HAPA KUINSTAL APPLICATION YA MZALENDO HURU KWENYE SIMU YAKO

About Unknown

About Mzalendo Huru Staff:

Send us your articles, questions, feedback, suggestions, press releases and all others to Whats app on +255657905751
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post